Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ajichimbia kaburi mwenyewe

Jumapili , 20th Aug , 2017

Mzee mmoja (88) huko Kaunti ya Nyeri kijiji cha Karagoto amefariki na kuzikwa jana kwenye kaburi aliloliandaa kwa takribani miaka 30 huku akiwa ameacha sintofahamu kwa familia na majirani zake juu ya misimamo pamoja na wosia wake.

Akizungumza na chombo cha habari huko nchini Kenya jirani wa Mzee huyo amesema kuwa Marehemu kabla ya kufikwa na umauti alikuwa ameshajiandalia kaburi lake huku akiacha wosia wa kutozikwa sehemu nyingine yoyote zaidi ya kwenye kaburi alilolijenga kwa miaka 30 pia kuktaka kutopelekwa katika vyumba vya kuhifadhia maiti.

Kwa mujibu wa jirani  huyo alimtaja Mzee huyo aliyefahamika kwa jina la Mwendazake Stanley Muryuki kwamba alikuwa ni mtu aliyesimamia misimamo yake hata baada ya kuumwa kwa muda mrefu hakutaka kwenda hospitali kwa madai kuwa Mungu afabnye apendavyo juu yake lakini siyo kupelekwa hospitali.

Mwendazake ambaye alikuwa muumini mzuri wa dhehebu la Katoliki aliacha wosia kwa familia yake kuwa endapo atafariki waombolezaji wote wapatiwe sahani ya chakula kabla ya kuondoka huku akiomba Padri aongoze mazishi yake na vijana wake wamlinde kwa muda usiopungua saa 24.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa