Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akamatwa baada ya kusamehewa na Rais Magufuli

Alhamisi , 12th Dec , 2019

ikiwa ni siku mbili tu zimepita tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, kutoa msamaha kwa wafungwa 70 mkoani Njombe, mmoja wa wafungwa hao Musa Msolwa, amekamatwa na Jeshi la Polisi, kwa kuvunja na kuiba kwenye nyumba ya wageni Mjini Makambako.

Mfungwa Mussa Msola akiwa chii ya Ulinzi wa Polisi

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Khamis Issah, amesema mfungwa huyo amedumu nje ya msamaha kwa saa nane tu baada ya hapo akaenda kufanya tukio la uhalifu kwa kuvunja, moja ya nyumba za wageni mkoani Njombe.

"Ni saa nane zimepita mtuhumiwa ambaye aliachiwa kwa msamaha wa Rais,alijikuta anaenda kuvunja gesti ya Nyang'ano, lakini wananchi walimdhibiti." amesema Kamanda Issah.

Akizungumza baada ya kutiwa nguvuni na Jeshi la Polisi, Msolwa amesema kuwa alipitiwa licha ya kuwa aliahidi kubadilika, lakini ameshindwa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi