Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akina Baba wadaiwa kuwaambukiza Ukimwi mabinti

Jumatano , 12th Mei , 2021

Mbunge wa Viti Maalum Fatma Toufiq, amedai kuwa akina Baba siku hizi hawawafuati tena wanawake watu wazima ili kuanzisha nao mahusiano badala yake wamekuwa wakiwambilia watoto wadogo hali inayopelekea kuwaambukiza Ukimwi na kupelekea maambukizi mapya kwa watoto wa kike kuwa makubwa.

Mbunge wa Viti Maalum, Fatma Toufiq

Kauli hiyo ameito hii leo Mei 12, 2021, Bungeni Dodoma, wakati akichangia hoja ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa hii leo na Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Dorothy Gwajima.

"Kundi kubwa ambalo linaonesha lipo kwenye hatari kubwa ya kuambukizwa Ukimwi ni watoto wenye umri wa miaka 14-24, na katika wale vijana 10 wanaoopimwa watoto wa kike 8 ndiyo wanaombukizwa sana, nilikuwa nashauri akina Baba ebu muwaonee huruma hawa watoto, sababu mmeacha kuwafuata akina mama watu wazima mnawafuata hawa watoto", amesema Mbunge Fatma

Aidha ameongeza kuwa "Hebu waacheni hawa watoto wasome watimize malengo yao, haya mambukizi mapya hawa watoto wanayapata kwa akina Baba ambao hawajapima". 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali