Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Akiri kuiba mtoto akamdanganye mume wake

Alhamisi , 30th Mar , 2023

Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani Happyness William mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa Nyehunge wilayani humo kwa kosa la wizi wa mtoto wa miezi sita

Ni kesi ya wizi wa mtoto namba 64 ya mwaka huu ambayo imetajwa kwa mara ya kwanza katika mahakama ya wilaya ya Sengerema mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Tumsifu Barnabas ambapo mshtakiwa Happiness William mara baada ya kusomewa shtaka linalomkabili la wizi wa mtoto alikiri kutenda kosa hilo ndipo mahakama ikatoa hukumu hiyo

Awali mwendesha mashataka wa serikali Mkaguzi wa polisi Inspector Martha Chacha aliiambia mahakama hiyo kuwa mnamo tarehe 26 ya mwezi huu majira ya saa mbili asubuh katika mtaa wa Migombani kata ya Nyampulukano tarafa ya Sengerema wilayani Sengerema mwanamke huyo alimuiba mtoto aitwaye Anitha Richard mwenye umri wa miezi sitana Kwenda nae katika Kijiji cha Nyehunge ili akamuonyeshe mume wake kuwa amejifungua na kwamba huyo ndiyo mtoto wake

Aidha mwendesha mashtaka huyo wa serikali ameongeza kuwa mwanamke huyo kabla ya kumuonyesha mume wake mtoto huyo alikamatwa na jeshi la polisi na kufunguliwa shtaka la wizi wa mtoto, ambalo ni kinyume na kifungu namba 169 kifungu kidogo cha (1) (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 ndipo mahakama ya wilaya ya Sengerema ikamhukumu kifungo hicho cha miaka miwli gerezani

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi