Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokiamua Sugu kuhusu Mdee na wenzake

Ijumaa , 27th Nov , 2020

Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu, amesema kuwa kwa sasa hawezi kutoa maoni yoyote juu ya kipi kifanyike kwa wanachama 19  wa chama hicho walioamua kwenda kula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama.

Kuahoto ni Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu na kulia ni Halima Mdee na Ester Bulaya.

Sugu ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa maelekezo yaliyotolewa na katibu mkuu wa chama hicho Jonh Mnyika, ndiyo ya msingi na kwamba yeye mara baada ya kikao cha kamati kuu kumalizika atatoa maoni yake.

"Mengineyo yatafuata mara baada ya vikao vya kamati kuu kumalizika, mimi siyo msemaji na maoni yangu nitayatoa baada ya kamati kuu kwa sababu na mimi ni mjumbe wa kamati kuu kwahiyo kwa nafasi yangu siwezi kutoa maoni yangu kwa sababu itakuwa siyo fair", amesema Sugu.

Kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kinakaa leo Novemba 27, 2020, kwa lengo la kuwahoji wabunge hao akiwemo Halima Mdee na wenzake 18, waliokula kiapo cha ubunge ili kujua ni kwanini waliamua kufanya hivyo na baada ya hapo, kamati hiyo itatoa maamuzi dhidi ya wanachama hao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi