Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alichokisema Mdee kuhusu nani aliyepeleka majina

Jumanne , 1st Dec , 2020

Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA,Halima Mdee, amesema kuwa hawezi kusema ni nani aliyepeleka majina yao Bungeni na wala ni kwanini waliapa, kwa kuwa hataki kuweka mambo hayo hadharani na badala yake ataenda kuyazungumza ndani na viongozi wa chama chake.

Halima Mdee na wenzake wakati wakizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Disemba 1, 2020, wakati wa mkutano wake na wabunge wenzake walioapishwa hivi karibuni, ambapo amesema kuwa yeye na wenzake kuanzia sasa ni wana CHADEMA wa hiyari na wala hawana mpango wa kuondoka ndani ya chama hicho kwa sababu wametoka nacho mbali.

"Kamati kuu imefanya uamuzi wake, tumesema tunaenda kukata rufaa baraza kuu, hizi hoja mbili ya kwanini tumeenda kuapa, au nani amepeleka majina ndiyo msingi wa rufaa zetu, siwezi kujadili hapa content , ndiyo maana nilisema kuna maswali nitayajibu na sitoyajibu tutaliongea ndani ya chama kwa sababu kila mtu ameshasema la kwake na hili ndiyo msingi mkuu wa kesi yetu", amesema Halima Mdee.

Aidha Mdee ameongeza kuwa, "Mimi sina dhamira ya kuondoka CHADEMA na hapa kila mmoja ameijenga CHADEMA kwa jasho na damu yake pamoja na changamoto tunazopitia maana hii wiki moja ilikuwa ya makashikashi kweli, niwahakikishie Halima mnayemfahamu miaka yote ndiyo yuleyule".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi