Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyejiuzulu Ukatibu Mkuu, ateuliwa kuwa Balozi

Alhamisi , 23rd Jan , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemteua Meja Jenerali Jacob Kingu kuwa Balozi, kabla ya uteuzi Jenerali Kingu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, mpaka jana Januari 22, 2020 ambapo aliandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo na akakubaliwa.

Meja Jenerali Jacob Kingu, aliyeteuliwa kuwa Balozi.

Uteuzi huo umetangazwa leo Januari 23, 2020 na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Dkt John Kijazi, Ikulu ya Jijini Dar es salaam.

"Mabalozi walioteuliwa ni Meja Jenerali Jacob Kingu, ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani kabla ya kujiuzulu jana Januari 22, 2020, mwingine ni Dkt John Steven Simbachawene, kutoka Ofisi ya Rais Ikulu pamoja na Kamishina Jenerali Phaustine Kasike, ambaye kabla ya uteuzi huu alikuwa Kamishina Jenerali wa Magereza na nafasi yake itajazwa baadaye, vituo vya Mabalozi hao vitatangazwa baadaye" amesema Dkt Kijazi.

Uteuzi mwingine uliofamnyika leo ni pamoja na kumteua Mussa Zungu kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, akichukua nafasi ya George Simbachawene, aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, akichukua nafasi ya Kangi Lugola.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali