Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyejivua CHADEMA awaomba radhi Sumaye na Lowassa

Jumatano , 26th Feb , 2020

Aliyewahi kuwa Katibu wa Uenezi wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA), Edward Simbeye leo Februari 26, 2020, amejivua uanachama ndani ya chama hicho na kusema kuwa atapumzika siasa kwa muda ili aweze kutafakari kwa kina chama chenye malengo ya kweli.

Kushoto ni Mawaziri Wakuu Wastaafu Edward Lowassa na Frederick Sumaye, kulia ni aliyewahi kuwa Katibu Uenezi CHADEMA Edward Simbeye.

Kauli hiyo ameitoa ikiwa ni siku chache tangu aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Dkt Vicent Mashinji, kujiunga na Chama cha Mapinduzi, ambapo amesema kuwa chama hicho hakina maono yoyote ya baadaye na kwamba chama hicho ni kampuni binafsi kwani kilishindwa kuwaheshimu Lowassa na Sumaye.

"Chama changu kimetoka kwenye malengo ya msingi ya kuchukua dola na kuwa kikundi cha watu wachache na kampuni ya mtu binafsi, wote tunajua ambavyo tumemdhalilisha Sumaye, tulimfukuza Lowassa wenyewe kwa sababu aliingilia maslahi ya mtu mmoja kwenye chama ni vyema tukawaomba msamaha wazee hawa na mimi leo kwa niaba ya wenye akili ninawaomba msamaha" amesema Simbeye.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa