
Kijana anayeomba msaada
Kijana huyo ambaye jina lake limehifadhiwa kwa sasa anavaa mavazi ya kiume na kutumia majina ya kiume aliyoyapata baada ya kula kiapo mahakamani baada ya kukana majina yake ya kike aliyopewa awali mara baada ya kuzaliwa, majina ambayo aliyatumia kuanzia darasa la kwanza hadi la saba, na kusema anatamani kuoa na kupata watoto.
Mpigie ama tuma mchango wako kupitia namba 0765 135 480 jina ni MAFANIKIO ADELICK KARITUS
Tazama video hapa chini