Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyepinduliwa Burkina Faso akimbilia Togo

Jumatano , 5th Oct , 2022

Vyanzo vya kidiplomasia vya kikanda vimeeleza kuwa kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso aliyechukua mamlaka mwezi Januari Paul-Henri Sandaogo Damiba alikimbilia katika nchi ya Togo Jumapili kufuatia mapinduzi yasiyokuwa na utulivu Afrika Magharibi mwaka 2022.

Paul-Henri Sandaogo Damiba, kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso Januari

Mwanajeshi mwenzake, Kapt. Ibrahim Traore aliyempindua ametangaza kuungwa mkono na wakuu wa jeshi. 

Burkina Faso ndilo taifa lenye kiongozi mdogo zaidi Afrika baada ya mapinduzi. Mkuu mpya wa jeshi la Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore, ndiye kiongozi mdogo zaidi barani Afrika. Alizaliwa mwaka 1988, hii inamfanya kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 34 kuwa mkuu wa nchi mwenye umri mdogo zaidi barani Afrika.

Kapteni Traore anajiunga na viongozi wawili waliotwaa madaraka kwa njia ya mapinduzi - Kanali Mamady Doumbouya wa Guinea, aliyezaliwa mwaka 1981, na Kanali Assimi Goïta wa Mali, aliyezaliwa 1983.

Alikuwa miongoni mwa kundi la wanajeshi waliounga mkono mapinduzi ya Damiba ya Januari 24 dhidi ya rais aliyechaguliwa kidemokrasia Roch Marc Kabore.

Mara tu baada ya kunyakua madaraka kwa Capt Traore, vita vya maneno vilianza kati ya kikundi chake na kile cha Damiba, na kuzua hofu ya mzozo mkali wa madaraka. Kiongozi huyo mpya ameahidi kuimarisha usalama nchini Burkina Faso.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali