Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyerekodi Madiwani CHADEMA apiga mkwara

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Diwani wa Mbuguni, Bw. Ahimidiwe Ali Rico amesema kwamba watu wasihamishe mjadala wa kuhusu mamlaka ya kurekodi madiwani waliohama Chama cha demokrasia na Maendeleo, CHADEMA na badadala yake mjadala ni kuhusu kupambana na rushwa.

Bw. Ahimidiwe amesema kwamba hana unafki wala nidhamu ya uoga ndiyo maana aliamua kufanya kazi hiyo ili kulikomboa taifa kutoka kwenye harufu ya rushwa na kuwataka wanaozusha maneno watulie kabla hajawaaibisha zaidi.

Diwani huyo ameweka wazi kwamba mkakati huo wa kurekodi na kuwachunguza viongozi wanapokea na kutoa rushwa ulianza muda mrefu na kwamba yupo makini katika hilo na wala siyo filamu kama jinsi ambavyo wanasiasa hao walivyoanza kuzusha.

"Mchezo uliokuwa unafanywa Arumeru nilianza kuufanyia kazi muda mrefu baada ya kuona madiwani wanaondoka kama njugu. Ushahisdi wa kifaa kilichotumika kipo tyayari Takukuru na sijataka kuingilia ushahidi wao hivyo ni jukumu lao kuonyesha kwa watanzania namna haki inavyotendeka" Ahimidiwe

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi