Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Ameshakuwa mtu mzima anajitegemea'' - Selasini

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Rombo Joseph Selasini, amevitaka vyama vya upinzani kuhakikisha wanafanya tathmini juu ya wapi walipotoka na wanapoelekea ili ziweze kuwasaidia katika kipindi hiki cha uchaguzi.

Joseph Selasini

Amesema hayo leo Agosti 7 katika mkutano mkuu wa chama cha NCCR Mageuzi uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo wajumbe wanatarajia kupiga kura kwa ajili ya kuwapata wagombea watakao peperusha bendera ndani ya chama hicho.

"Ni vizuri tunavyoingia kwenye mageuzi vyama vyote vya upinzani tufanye tathimini tumetoka wapi tupo wapi, na tunakwenda wapi mbona katika miaka 28 mtoto ameshakuwa mtu mzima anajitegemea na bado tunalilia tu", amesema.

Aidha Selasini amewakumbusha vijana kuwa agenda ya katiba imeanza muda mrefu tangu  tarehe 11/06/1991 ambapo wanamageuzi walikaa katika ukumbi nakudai mageuzi na ndipo chombo cha NCCR kilipoundwa kwa ajili kutafuta marekibisho ya kikatiba.

“Vijana niwakumbushe tarehe 11/06/1991 wanamageuzi tulikutana katika ukumbi huu tukiidai serikali mageuzi baada ya mkutano ule vilizaliwa vyombo viwili cha kwanza NCCR maana yake Baraza la kitaifa kwa ajili ya kutafuta marekibisho ya Katiba, sasa ambao wanasema agenda ya katiba ni yao wanakosea imeanza siku nyingi”.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa