Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anna Mghirwa amwaga chozi hadharani

Ijumaa , 18th Aug , 2017

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghirwa ameshindwa kujizua na kumwaga chozi hadharani, alipokuwa akitoa hotuba yake kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro akiwapokea watoto Sadia, Doreen na Wilson.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira

Akisoma hotuba hiyo Anna Mghirwa aliwataka watoto hao kuwa mashuhuda wa matendo makuu ya Mungu, na kuwa fundisho kwa madaktari na manesi kwenye utendaji wao wa kazi, na kuwaonya kuhusu vitendo vya kuhujumu, kwani vinachangia kwa kiasi kikubwa upatikananji wa huduma duni za afya.

"Kwa watoto wetu Sadia, Wilson na Doreen naomba niseme kuwa Mungu anawapenda sana, ikawe heri maishani mwenu, na mkawe mashuhuda wa mapenzi na baraka za Mungu kwa wanadamu, ninasema kwa kulia na uchungu kama mama , na kama mzazi ninatambua, ninaomba watoto hawa wakawe ushuhuda kwa manesi na madaktari wetu wanaoiba dawa, wanaoiba dawa, wanalazimisha wagonjwa kununua huduma, inatia uchungu, inauma, ninaomba sana watotoi hawa wakawe alama ya utu, na uadilifu na uzalendo", alisikika mama Anna Mghirwa akisema kwa uchungu.

Leo watoto watatu Doreen, Sadia na Wilson wa shule ya Lucky Vicent ambao walinusurika katika ajali ya gari iliouwa wenzao 32, wamewasili nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro, na kupokelewa na viongozi mbali mbali wa kitaifa akiwemo Mkuu wa mkoa wa Kilimanrao, Bi. Anna Mghwira. 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi