Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baada ya kuhoji tukio la Lissu Lugola arudi tena

Ijumaa , 15th Feb , 2019

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Kangi Lugola amekemea tabia ya baadhi ya maaskari wa usalama barabarani kukamata madereva wa bodaboda kinyume na utaratibu na kusababisha malalamiko kwa bodaboda.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Kangi Lugola

Ametoa kauli hiyo leo akiwa Arusha kwenye ziara yake ya kikazi ambapo amepiga marufuku tabia ya baadhi ya maaskari waliovaa kiraia kuwakamata madereva wa bodaboda.

Kangi amesema, "ukiwa na chombo cha usafiri hata wanawake wanakupenda, lakini utakuta askari mmoja anakuja kuikamata bodaboda yako sasa utakuta mtu anapendwa na sababu ya bodaboda inasababisha mtu kukimbiwa na mwanamke."

"Nimeshaongea mara kwa mara ni marufuku kukamata bodaboda ukiwa umevaa sare za kiraia, muwakamate kwa weledi zaidi na kwa mujibu sheria", ameongeza Kangi.

Mapema wiki hii Waziri akiwa Jijini humo Arusha Kangi Lugola alizungumzia juu ya tukio la kushambuliwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu na huku akihoji ni kwanini dereva wa Mbunge huyo anayetambulikwa kwa jina la Adam Bakari, hakushambuliwa wakati walikuwa katika gari moja.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali