Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

BAVICHA waadhimisha Uhuru wakiwa Segerea

Jumapili , 9th Dec , 2018

Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) wameadhimisha siku ya Uhuru kwa kuwatembelea viongozi wa chama hicho walioko gereza la Segerea huku wakikosoa uamuzi wa kufutwa kwa sherehe hizo.

Mwenyekiti wa BAVICHA Patrick Olesosopi, akisisitiza jambo.

Akizungumza leo Desemba 9, Mwenyekiti wa Bavicha Patrick Olesosopi amesema siku ya Uhuru ni muhimu kwa taifa katika kuwakumbuka waasisi waliopigania Uhuru.

"Baada ya kufutwa kwa sherehe za Uhuru sisi kama Bavicha kwa pamoja tuliazimia kujitokeza katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kutembelea watu walioko magerezani," amesema Sosopi.

Amesema kwa kuwa sherehe za Uhuru ni muhimu, Rais angeangalia sherehe nyingine za kufuta ikiwamo kupunguza siku za kukimbiza mwenge ili kuokoa fedha ambazo matumizi yake sio ya lazima lakini sio siku ya uhuru.

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na muweka hazina wa Baraza la Wanawake la chama hicho Ester Matiko wako gereza la Segerea kwa siku ya 14 baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana Novemba 26.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani