Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Chacha Wangwe kukata rufaa Mahakama ya Afrika

Alhamisi , 17th Oct , 2019

Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua hukumu iliyowazuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi, Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe ameeleza nia yake ya kukatia rufaa maamuzi hayo katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ili kuhakikisha demokrasia inapatikana.

Bob Chacha Wangwe

Akizungumza leo Oktoba 17, 2019 na EATV&EA Radio Digital, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa hadi sasa wameshaanza kuandaa utaratibu wa kukata rufaa nje ya Tanzania kwa kile anachokiamini kuwa kama haki imeshindwa kupatikana nyumbani, basi ataipata nje ya nchi.

''Ushindi huo wa upande wa Serikali tumeupokea kwa masikitiko makubwa kwasababu tunategemea demokrasia iendelee, tunapoona inarudi nyuma ni jambo ambalo linasikitisha. Sisi tutakata rufaa kwenda mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kwa sababu kwa Tanzania mahakama ya rufaa ndiyo mahakama ya juu zaidi", amesema Wangwe.

"Kwahiyo inapotokea imetoa uamuzi sisi hatuwezi tukarudi nyumbani, tunapoona hatujatendewa haki inabidi tukaitafute hiyo haki ambayo tumeikosa'', ameongeza.

Jana Oktoba 16, 2019, Mahakama ya Rufani Tanzania ilitengua hukumu na amri ya Mahakama Kuu kuzuia wakurugenzi wa halmashauri, manispaa, na majiji kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa