
Miili mingine mitano zaidi iligunduliwa juammosi usiku na kupelekea idadi hiyo ya watu 11 . Zaidi ya wahamiaji 1,000 wanasadikiwa kupoteza maisha mwaka huu pekee baada ya kujaribu kuvuka bahati ya Mediterranean.
Taarifa hizo ni kwa mujibu wa mashirika ya umoja wa mataifa ambapo wahamiaji takribani 1,033 wanasemekana kufa ama kupotea huku wengine 960 wakisemekana kutoswa kwenye maji na kufa.
Taarifa zinasema kuwa kuna milango 52,000 isiyo rasmi inayopitia kwenye bahari ya Mediterranean kati ya januari na August mwak huu huku wahamiaji wengi wakitokea nchini Tunisia, Misri na Bangladesh.