Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'CCM imedhulumiwa sana' - Rais Magufuli

Jumanne , 22nd Mei , 2018

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli, amesema kwamba mali za Chama hicho zimeibiwa kwa kiasi kikubwa  kutokana na usimamizi mbovu ulikuwa unafanywa na watendaji wa chama hicho.

Rais Magufuli amesema hayo Mei 21, 2018 katika Ofisi ndogo za CCM, Lumumba Jijini Dar es salaam baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya kuhakiki mali za CCM nchi nzima na kuongeza kuwa haiwezekani Serikali inapambanua na ufisadi wakati chama tawala hakioneshi mfano kupinga ubadhirifu.

“Ripoti imesheheni mambo mengi, CCM imedhulumiwa kweli, inaumiza sana mpaka nimechoka, lakini ndiyo hivyo nimeipokea lengo ni kuhakikisha tunakuwa na chama ambacho matumizi ya fedha na miradi inayosimamiwa na chama iwe miradi ya ukweli na isiwe ya utapeli” amesema Rais Magufuli

Rais Dkt. Magufuli ameongeza kwamba ripoti hiyo ataiwasilisha kwa wajumbe wa mkutano wa Halmashuri kuu (NEC) na Kamati Kuu (CC) ili kuijadili ripoti hiyo na badae kutoa maamuzi kutokana na malekezo ya wajumbe hao.

Disemba 20, 2017 katika kikao cha Halmashauri kuu CCM (NEC) Rais John Magufuli aliunda tume ya wajumbe tisa wakiongozwa na mwenyekiti Dkt. Bashiru Ali Kakurwa ambapo tume hiyo ilipewa jukumu la kuhakiki mali za Chama nchi nzima kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa na Taifa.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa