Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM waibuka sakata la 'Bunge ni dhaifu'

Jumamosi , 19th Jan , 2019

Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi wamejitokeza kwa mara ya kwanza kwa kuingilia kati sakata la Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof Mussa Assad na Spika Job Ndugai kwa kumpongeza CAG kuitikia wito wa Spika.

Wabunge hao wa CCM ni mara ya kwanza kutoa msimamo wao tangu sakata hilo lilipoanza ambapo wamedai maamuzi ya Profesa Mussa Assad yameonesha ni kuheshimu utawala wa kisheria kwa kiongozi wa mkuu wa Bunge.

Akizungumza kwa niaba ya wabunge wa CCM, Mbunge wa Mbinga Mjini Sixtus Mapunda amesema "tunampongeza sana CAG kwa kuitikia wito wa kamati licha ya kuwepo kwa propaganda za kwenye mitandao ya kijamii, na baadhi ya wabunge wa upinzani."

"Tunamshukuru kwa kuheshimu mamlaka ya Bunge, sisi kama wabunge tunadhani hatua ya CAG itasaidia kurudisha mahusiano ya Bunge na ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali."

Januari 21, 2019 Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali CAG ametakiwa kufika kwenye kamati ya maadili ya Bunge ili kujibu madai juu ya kauli aliyoitoa kuwa Bunge ni dhaifu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi