Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yalia na uchonganishi wa mitando ya kijamii

Jumatano , 5th Dec , 2018

Chama Cha Mapinduzi kimewataka watumiaji wa mitandao ya Kijamii nchini kufanya hivyo katika namna ya kujenga na si kuwaundia kauli baadhi ya viongozi wake kwa lengo la kuwagombanisha na chama hicho.

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole.

Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole imedai kuwepo kwa kurasa katika mitandao ya kijamii yenye jina la Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally na kudai ukurasa huo umetoa kauli ya kumbeza Spika Mstaafu, Pius Msekwa.

Aidha chama hicho kimedai kuwa kumekuwa na taarifa potofu juu ya kufanyika kwa mkutano kati ya maafisa wa chama hicho kutoka ofisi ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es salaam na waandishi wa habari.

"Kumekuwapo na akaunti ya mtandao wa twiter yenye jina la Bashiru Ally na inatoa kauli ambazo sio zake kwamba amemjibu Spika Mstaafu Pius Msekwa jambo hilo ni potofu," imesema taarifa hiyo

Aidha chama hicho imezitaka mamlaka husika kuwatafuta watu ambao wamekuwa wakitumia majina ya viongozi wake vibaya na kutaka kuhimiza matumizi mazuri ya mitandao ya kijamii kwa nia ya kupeana habari bila kuathiri usalama.

Hivi karibuni kupitia vyombo mbalimbali vya habari nchini Pius Msekwa alitoa kauli iliyoashiria kumkosoa Katibu Mkuu CCM, juu ya njia aliyoitumia kumuita kada wake Bernard Membe ili ajibu tuhuma zinazomkabili.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali