Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yaeleza sababu ya kutii agizo la JPM

Ijumaa , 15th Feb , 2019

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeeleza kitaanza kufanya mikutano ya hadhara kwa kile walichokidai kuwa walikuwa wanakabiliwa na mambo mengi ndani ya chama hicho.

Akizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Vincent Mashinji amesema awali walionekana kutii agizo hilo la katazo ya mikutano ya kisiasa kwa sababu chama hicho kilikuwa kinashughulika na ujenzi wa chama chake.

Mashinji amesema, "ni kweli tulikuwa na jukumu la ujenzi wa chama kama taasisi, kwa hiyo tulikuwa hatuna uwezo wa kuendesha vitu viwili kwa wakati mmoja."

"Ndiyo maana wakati tamko linatokea na matendo yetu ilionekana kutii amri isiyokuwa halali bali ni matukio mawili ambayo yaliyotokea kwa wakati mmoja na moja kumeza jingine." ameongeza Mashinji.

Kuhusiana na Uchaguzi wa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa, Katibu Mkuu huyo amesema kupitia kamati kuu wameandaa mikakati ambayo itawafanya kuibuka na ushindi.

Akipokea ripoti ya Tume ya Taifa Uchaguzi NEC, June 07, 2016 Rais Magufuli aliwataka viongozi wa kufanya siasa hadi 2020, lakini kwa sasa wawape nafasi viongozi waliochaguliwa kutekeleza waliyoyaahidi.

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro