Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHADEMA yakaribisha hata ambao hawakutia nia

Jumapili , 5th Jul , 2020

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, ametoa rai kwa wanachama wote wa chama hicho, hata wale ambao hawakutia nia za kugombea nafasi mbalimbali ikiwemo Urais, wajitokeze kwa ajili ya kwenda kuchukua fomu za kuwania uteuzi ndani ya chama.

Bendera za CHADEMA.

Taarifa hiyo imetolewa leo Julai 5, 2020 na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho Tumaini Makene, ambapo imeeleza kuwa Mnyika ametoa rai kwa wananchi kuwa wahakikishe mgombea atakayeshinda uchaguzi anatangazwa kwa nguvu ya umma.

"Natoa wito kwa wanachama hata wale hawakutia nia, waende kwenye ofisi za chama wakachukue fomu, kutia nia ni jambo moja na kuchukua fomu ni jambo lingine, kwa ujumbe huu nawataarifu wanachama wote kutumia fursa hii ili mteuliwe muende kuwahudumia wananchi" imeeleza taarifa hiyo.

Aidha akitoa taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya kujiandaa na Uchaguzi Mkuu Naibu Katibu Mkuu Bara, Singo Kigaila, amesema kuwa jumla ya wanachama 148 wametia nia kwenye nafasi ya Ubunge kwenye majimbo 19 ya kanda hiyo, huku madiwani waliotia nia wakiwa 691.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa