Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chanzo cha mteule wa Rais kushindwa kuapa chatajwa

Alhamisi , 10th Dec , 2020

Mwanasaikolojia Moses Kyando amesema kuwa kitendo cha mteule wa Rais Magufuli, Francis Ndulane, kushindwa kuapa lisihusishwe na masuala ya kishirikina bali ni masuala ya kisaikolojia aina ya Specific Phobia na Social Phobia, yanayoweza kumpata mtu yeyote.

Francis Ndulane, Naibu Waziri wa Madini aliyeshindwa kuapa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Decemba 10, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, ambapo amesema kiongozi huyo siyo wa kushindwa kuapa kwa kuwa hata CV yake inaonesha kuwa ni msomi na alishawahi kuwa kiongozi wa bodi mbalimbali.

"Kilichompata Naibu Waziri mteule wengi wanasema ni uchawi ama hajui kusoma na kuandika lakini ukiangalia CV yake siyo mtu wa kushindwa kusoma, amefanya kazi nyingi za kijamii, kitaalam hayo ni masuala ya kisaikolojia ambayo ni Social Phobia na Specific Phobia, sasa unapokutana na Rais ambaye ana mambo mengi na baadhi ya watendaji wanapata naye shida inawezekana alikutana na phobia mbili kwa wakati mmoja", amesema Mwanasaikolojia

"Inawezekana hata watu wake wa karibu wakimuuliza na yeye anashangaa ni tatizo la kisaikolojia ambalo linaweza kumpata mtu wa aina yoyote, ni hofu kupanda juu ya jambo ambalo hukulitegemea, kwa jana kulikuwa na mkusanyiko wa watu wamevaa suti na Rais Magufuli alikuwepo, unaweza kukuta kilichompata jana ni phobia, yeye ni mtu wa kawaida na ni msomi na hana changamoto ", ameongeza.

Jana Decemba 9, 2020, Naibu Waziri mteule wa Madini Francis Ndulane, alishindwa kula kiapo mbele ya Rais Magufuli , na baada ya hapo Rais Magufuli, alitangaza kuwa nafasi hiyo atateuliwa mtu mwingine na itabidi mteule huyo elimu yake ichunguzwe.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi