Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Corona yakwamisha kina Ester kupatiwa matibabu nje

Alhamisi , 19th Mar , 2020

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kuwa kinaangalia namna ambayo itawawezesha kuwasafirisha Wabunge Ester Bulaya, Halima Mdee na Jesca Kishoa kwa ajili ya kupatiwa matibabu nje ya nchi kwa kuwa hali zao bado hazijatengemaa.

Wabunge Ester Bulaya, Halima Mdee na Jesca Kishoa wakiwa hospitalini.

Akizungumza leo Machi 19, 2020, na EATV&EA Radio Digital, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, John Mrema amesema kuwa kulingana na hali ya maambukizi ya Virusi vya Corona ilivyo kwa sasa inawawia vigumu kuchukua maamuzi yoyote, kwakuwa nchi walizodhamiria kuwapeleka tayari zimekwishakumbwa na visa vya ugonjwa huo.

"Kina Ester wameruhusiwa juzi, isingekuwa Corona tulikuwa tunafikiria kuwapeleka nje kupata matibabu zaidi, lakini bado tunawaza nini cha kufanya, hali zao bado hazijatengemaa, hasa Ester aliyeumia ndani huwezi jua nini haswa kinasumbua, tulitaka kuwapeleka kwenye nchi ambazo zina matibabu mazuri kuliko sisi kama Kenya na Afrika Kusini" amesema Mrema.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa