Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF kupinga matokeo ya ubunge majimbo sita

Jumanne , 3rd Nov , 2015

Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa kitakwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge wa majimbo sita ambayo wanadai taratibu za uchaguzi zilikiukwa.

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa(kulia) akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora Mjini kwa tiketi ya CUF, Peter Mkufya

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam mgombea ubunge wa jimbo la Tabora mjini Peter Mkufya amesema kuna taratibu nyingi zilikiukwa sana hasa wakati wa kuhesabu na kufanya majumuisho ambapo idadi ha kura zilizidi idadi ya walioandikishwa toka watu 138,000 hadi 140,000.

Mkufya ameongeza kuwa kulikuwa na vituo hewa vingi na hata walipoomba fomu ya malalamiko kwa mkurugenzi Wa uchaguzi walinyimwa na kudai kuwa siku ya majumuisho saa nane usiku katibu Wa CCM Wa wilaya ya Tabora mjini aliingia kwenye chumbani cha majumuisho kinyume na utaratibu.

Kwa upande wake afisa sheria na haki za binadamu Wa CUF Mohamed Mluya amesema wana ushahidi wa majimbo sita ambayo ni Newala, Pangani, Mtwara vijijini, Mbagala, Lindi Mjini na Tabora kwamba walishinda ila wameporwa ushindi na hivyo wataenda kudai ushindi wao mahakamani.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa