Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF wafunguka kukamatwa kwa Profesa Lipumba

Jumapili , 26th Jan , 2020

Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha wananchi CUF, ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Misima wilayani Handeni, Masoud Mhina amesema kuwa utaratibu uliopo kwa sasa ni kumuwekea dhamana Profesa Lipumba na baada ya hapo mwanasheria atatoa mwongozo.

Profesa Lipumba akipanda gari la polisi, baada ya kukamatwa.

Hayo ameyabainisha leo Januari 26, 2020, wakati akizungumza na EATV mara baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba kukamatwa na jeshi la polisi wilayani Handeni kwa kosa la kufanya mikutano bila kibali.

"Tupo kwenye mchakato wa kumwekea dhamana Profesa Lipumba na baada ya dhamana hiyo Mwanasheria wa Lipumba, atatoa muongozo wa hatua zinazotakiwa zichukuliwe" amesema Mhina.

Profesa Lipumba amekamatwa mapema leo Jumapili, katika kijiji cha Mbogoni kata ya Mgwe akiwa katika kikao cha ndani na wanachama wa chama hicho, katika moja ya nyumba ya mwanachama wa chama hicho.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa