Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF yamjia juu mbunge aliyejiuzulu

Ijumaa , 16th Nov , 2018

Chama Cha Wananchi wa CUF upande wa Profesa Lipumba umefunguka kuwa waliokuwa wabunge wake na baadaye kuhamia Chama Cha Mapinduzi kwa kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli kuwa ifikapo 2020 wabunge hao wataondolewa kwenye kura za maoni.

Mbunge aliyejiuzulu Abdallah Mtolea na Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama Ibrahim Lipumba.

Kauli hiyo ya CUF imetolewa na Mkurugenzi wa Habari Abdul Kambaya ikiwa ni siku moja tangu Mbunge wa Jimbo la Temeke Abdallah Mtolea atangaze kujiuzulu nafasi yake ubunge na baadaye kutangaza kuingia Chama Cha Mapinduzi.

Hawa wakina Polepole, wanasema wazi kwamba hii ofa ya dirisha dogo itaishia 2020 baada ya hapo utaratibu wa CCM utafuatwa, sidhani kama wataweza mikiki kwa sababu wagombea Urais wanapanga safu zao, niwaombe wanachama wetu wawe watulivu kwani CUF yetu sio mtu bali ni sera na misingi.”

Tatizo kubwa wanaohama sasa wanadhani kuwa wanaweza kuwa Waitara, (Uwaziri) washatoka kwenye fikra za kutaka kuwa wabunge tena ila wanachowaza ni kuwa Mawaziri, na ndiyo maana unaona kuna ongezeko kubwa la watu kuhama.”

Jana wakati wa muendelezo wa vikao vya Bunge Jijini Dodoma Abdallah Mtolea alitangaza kujiuzulu kwa nafasi yake ya ubunge kwa kile alichokidai kuwa kukwepa migogoro ya kiuongozi baina ya upande wa Mwenyekiti wa anayetambuliwa na Msajili wa Vyama nchini Profesa Lipumba na Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi