Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC kuwasweka wafugaji mahabusu siku 10

Jumatatu , 22nd Feb , 2021

Mkuu wa Wilaya ya Magu Salum Kali amesema atawachukulia hatua za kisheria wafugaji wakorofi wanaolisha mifugo yao kwa makusudi kwenye mashamba ya wakulima kwa kuwaweka mahabusu kwa siku 10  ili iwe fundisho kwa wafugaji wengine wasioheshimu jasho la wakulima.

Mkuu wa Wilaya ya Magu Salum Kali

Kali ameyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Nyashimbi wilayani humo mkoani Mwanza lengo likiwa ni kutafuta ufumbuzi wa migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

"Ng'ombe wa mfugaji wakiingia kwenye shamba na akawa jeuri kamata mwenye ng'ombe niletee ofisini kwangu OCD atamuhifadhi kwa maelekezo yangu na ntampeleka kwenye kambi ya gereza akae siku kumi ndo tumtoe aende mahakamani, sitakubali na hii iwe fundisho kwa mfugaji yeyote katika wilaya yangu ya Magu" amesema DC Salum

Kwa upande wa wakulima wamebainisha changamoto iliyopo baina yao na wafugaji ni kutokuheshimiana kwenye kazi zao ilihali wao ni kama mtu na mdogo wake.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP