Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC Sabaya awaweka ndani wahasibu

Jumatano , 11th Sep , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, ameagiza wahasibu wa Chuo cha Ualimu Moshi pamoja na Wakala wa Benki ya CRDB Wilayani humo, kukamatwa mara baada ya kugundua ubadhilifu mkubwa wa shilingi milioni 78 zilizokuwa zinalalamikiwa na Wanafunzi Chuoni hapo.

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Akizungumza leo Septemba 11 na EATV&EA Radio Digital, DC Sabaya amesema kuwa mara baada ya kukutana na wote waliotajwa kuhusika na upotevu wa pesa hizo ikiwemo Bodi ya Shule, CRDB pamoja na Mawakala wa ELCT SACCOS, aliagiza wakae ili kuweza kubaini na kujiridhisha kiasi halali kilichopotea.

''Tumekubaliana kwamba wahusika wa wizi huo, huyu Muhasibu wa Chuo na yule Wakala watawajibika kulipa hicho kiasi kwa sababu nao watakuwa sehemu ya uchunguzi huo, lakini ili wasiharibu uchunguzi, nimeagiza wote wakamatwe kwahiyo wote wawili wako ndani mpaka wasubiri kesho saa 5:00 Asubuhi, watanipa majibu ya kilichofikiwa na tutaamua namna ya ulipaji wa fedha hizo ili Wanafunzi waendelee kubaki hapo Shuleni'' amesema DC Sabaya.

Wanafunzi wa Chuo hicho waliandamana siku ya Jumatatu ya Septemba 9 na kushinikiza Serikali kuingilia kati sakata la utapeli wa zaidi ya Sh.milioni 75 za malipo ya ada ambazo hazionekani kwenye akaunti ya Chuo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa