Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Diwani akamatwa kwa rushwa Kyela 

Jumapili , 31st Mei , 2020

Taasisi  ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru Mkoani Mbeya imethibisha kumkamata  Diwani wa Viti Maalum wilaya ya Kyela, Tumain Mwakatika kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa kinyume na sheria ya Takukuru namba 11 ya mwaka 2007.

Makao makuu ya kupambana na rushwa Takukuru Mbeya

Akithibisha hilo Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mbeya, Julieth Matechi amesema  Diwani huyo amekamatwa  na maofisa wa Taasisi hiyo katika Wilaya ya Kyela  Mei 30 mwaka huu wakati akigawa fedha kwa wajumbe wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania "UWT" ambao walikuwa wakishiriki Ibada ya maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, wilaya ya Rungwe Esther Mwakipesile.

Matechi amesema uchunguzi wa Takukuru wilaya ya Kyela ulibaini kuwa diwani huyo alikuwa akigawa fedha kwa wajumbe  ambao walihudhuria ibada ya maziko ya Mwakipesile.

Aidha amesema maofisa ambao walijipanga vyema kufuatilia vitendo hivyo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu na walimuweka chini ya ulinzi na kumshikilia kisha kumchukua kwa ajili ya mahojiano ambayo yalifanyika kwenye ofisi za Takukuru Kyela.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali