Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Bashiru azitaja shabaha nne za CCM

Jumatatu , 13th Aug , 2018

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ali amesema kuwa chama chake mpaka sasa kimeshatekeleza nusu ya Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015/2020 na kusisitiza kuwa kazi inayoendelea kufanywa na serikali ni kusogeza zaidi huduma kwa wanyonge na wavuja jasho.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ali akisisitiza jambo.

Bashiru amefunguka hayo leo Jumatatu Agosti 13, 2018 jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kumtambulisha aliyekuwa mbunge wa Liwale (CUF), Zuberi Kuchauka ambaye leo amejiunga na CCM na kusema kuwa chama chake kina silaha kubwa nne.

Amezitaja shahaba hizo kuwa ni kupambana na umaskini wa wanyonge, kutengeneza nafasi nyingi za ajira hususani katika sekta ya kilimo, uvuvi, mifugo na viwanda, kupambana na rushwa na ufisadi na kuimarisha vyombo vya ulinzi na usalama ili taifa liendelee kuwa na amani.

Katika kipindi hiki chini ya Rais John Magufuli tuko nusu ya utekelezaji wa Ilani yetu na bado tuna nusu nyingine, na katika ilani hiyo tunazo shabaha kubwa nne, Chama chetu kimeendelea kujisahihisha pale yanapotokea makosa, lengo kuu ni kuhakikisha misingi ya Azimio la Arusha na Mapinduzi ya Zanzibar yanaimarishwa”, amesema Dkt. Bashiru.

Kujiuzulu kwa Mbunge huyo wa Liwale kunafikisha jumla ya wabunge watano (5) kutoka vyama vya upinzani kujiuzulu nafasi zao za ubunge na kuhamia CCM ambao kati yao kutoka CUF ni watatu na wawili kutoka CHADEMA.

Wimbi la viongozi na wanachama wa upinzani kutimkia CCM, lilianza kushamiri mwaka jana ambapo mpaka sasa jumla ya wanachama milioni mbili wameshajiunga na chama cha mapinduzi kuanzia Januari mwaka 2017 hadi sasa kwa mujibu wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi