Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Dodoma tulisubiri kwa hamu sana'' - Katambi

Jumanne , 27th Aug , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi, ameeleza kufurahishwa na ujio wa kampeni ya Namthamini mkoani humo, ambapo ameweka wazi kuwa walikuwa wakiisubiri kwa hamu sana.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi

Katambi ameyasema hayo kwenye zoezi la ugawaji wa taulo za kike katika shule ya sekondari Msalato iliyopo jijini Dodoma, kupitia kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa Television na East Africa Radio.

''Kampeni hii tuliisubiri sana, niwapongeze EATV na EA Radio kwa kuichagua Dodoma pamoja na kuzunguka nchi nzima kugawa taulo za kike, hakika ni jambo zuri katika kuhakikisha mtoto wa kike anatimiza ndoto zake'', amesema Katambi.

Zoei la ugawaji wa taulo za kike kwa mwaka 2019 linaendelea ambapo tayari mikoa ya Manyara, Arusha na Tabora imeshafikiwa na sasa ni Dodoma, ambapo zoezi hilo limepita katika shule za Hombolo, Kikombo na Msalato na kufanikisha wasichana zaidi ya 500 kusoma bila kupata changamoto wakati wa hedhi kwa muda wa mwaka mmoja.

Zaidi tazama Video hapo chini.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini