Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dodoma watekeleza agizo la Magufuli kwa haraka

Jumamosi , 30th Nov , 2019

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi, amesema utekelezaji wa agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu ulipaji wa fidia wa eneo la Kikombo lililochukuliwa na Jeshi, kwa ajili ya kujenga Makao Makuu ya Ulinzi yanaanza wiki ijayo.

Rais Magufuli

Mkurugenzi huyo amesema kama maelekezo yalivyotolewa tayari taratibu zote zimeshakamilika ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa fedha na kinachofanyika kwa sasa ni uhakiki wa wananchi wanaopaswa kilipwa.

Amesema kuwa zoezi ambalo linaratibiwa na Wizara ya Fedha linaenda sambamba na ufunguaji wa akaunti za malipo kwakuwa watatumia mfumo wa Serikali wa Kibenki katika kufanya malipo hayo ya fidia ili fedha hizo ziwe salama.

Eneo lote linaukubwa wa hekari 5000, eneo linalokusudiwa kwaajili ya kulipwa fidia ni hekari 3431 na wanufaika wa fidia hiyo ni wananchi 1526, ambao wanapaswa kulipwa fidia Bilioni 3, kuhusu ujenzi wa barabara wa Kilomita 18 kuelekea Makao Makuu hayo nalo zoezi linaendelea kwa kasi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi