Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dr Mpango azindua barabara Arusha

Jumanne , 30th Mei , 2023

Makamu wa Tanzania Dkt Philip Mpango ameiagiza wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kukamilisha ujenzi wa Barabara yenye miundombinu korofi ya Ngaresero - Engaruka Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha yenye urefu wa Kilometa thelathini na tisa kwa kiwango cha Lami

Makamu wa Rais Dkt Mpango ametoa maagizo hayo wakati akizundua barabara ya Waso hadi Sale yenye urefu wa Kilometa 49 iliyoghalimu zaidi ya bilioni themanini na saba. Na kuitaka wizara kuzingatia zaidi maeneo yenye changamoto katika ujenzi na ukarabati huo.

 
Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Geofrey kasekenya anakiri ubovu wa miundombinu duni kwenye barabara hiyo, na hapa anaeleza mpango wa Wizara. 

Kwa upande mwingine Makamu wa Rais amewasha taa katika kijiji Cha Sale kama ishara ya kukamilika Kwa mradi wa Umeme kijijini humo,mradi uliotekelezwa na Wakala wa Umeme Vijijini REA. na hapa anatoa maelekezo kwa Wizara ya nishati. 

Nao baadhi ya wakazi wa kijiji cha Salé wameishukuru Serikali kwa kuwafikishia Huduma ya nishati ya umeme kijijini humo, na kuwa kilikuwa kilio cha muda mrefu Kwa wakazi hao

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi