
Rais Teodoro Obiang Nguema anawania muhula wake wa sita mfululizo madarakani.
Zaidi ya wapiga kura 300,000 wamesajiliwa kushiriki katika uchaguzi huo wa Jumapili.
Viongozi wa upinzani Andrés Esono Ondo na Buenaventura Monsuy Asumu wanatarajiwa kupambana na rais wa muda mrefu Teodoro Obiang Nguema ambaye anawania muhula wake wa sita mfululizo madarakani.