Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EXCLUSIVE: Mganga Kienyeji afanya maajabu Katavi

Jumanne , 18th Jun , 2019

Mkazi mmoja wa Mtaa wa Kashaulili Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi, Mbahige Nsanyi Chiha, amejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwatibu baadhi ya wagonjwa waliovunjika mifupa kwa tiba za kienyeji na wagonjwa hao wakipona.

Awali baadhi ya wagonjwa hao walishindwa kupata huduma ya kutibiwa sehemu walizovunjika katika Hospitali ya Mkoa wa Katavi,na kulazimika kwenda kwenye Hospitali za Rufaa huku wenyewe wakiwa hawana gharama za kumudu matibabu hayo.

Akizungumza na www.eatv.tv, Chiha amedai kuwa yeye ni mganga wa tiba  asili na amekuwa akitoa matibabu kwa wagonjwa mbalimbali waliovunjika mifupa kwa njia ya asili.

"Hii huduma yangu inatambulika kisheria hasa kwa wagonjwa ambao wanashindwa kugharamia matibabu yao kuvunjika mguu, mimi ninachokifanya nampeleka kwenye eneo langu la kumtibia halafu namwambia anyooshe mguu ambao ni mzima kisha nachukua kivuli cha mchanga wa mguu ambao haujavunjika kisha naanza kumtibia", amesema Mganga Chiha.

Miongoni mwa wagonjwa walipatiwa huduma na bwana Chiha ni Joseph Peter pamoja na Konsolata Kasimele ambao ni wakazi wa Manispa ya Mpanda waliwahi kutibiwa.

Mtazame hapa chini akionesha matibabu yake

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa