Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu jiwe la Laizer lilivyopatikana

Jumatatu , 3rd Aug , 2020

Imeelezwa kuwa jiwe la tatu la Tanzanite lililonunuliwa na Serikali hii leo, lilipatikana wakati wa kuondoa Mwamba uliokaribia kuanguka ndani ya mashimo anayoyamiliki Bilionea Saniniu Laizer.

Bilionea Saniniu Laizer.

Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 3, 2020, na Waziri wa Madini Doto Biteko, wakati akizungumza na wananchi katika zoezi la makabidhiano ya Jiwe la Tanzanite lenye uzito wa Kg 6.371 kati ya Serikali na Bilionea huyo.

"Katika kuondoa Mwamba uliokaribia kuanguka ili zoezi la uchorongaji liweze kuendelea na ndipo kipande hicho cha Kg 6.371 kilipatikana, ambapo Serikali imeamua kipande hicho chenye thamani ya Bilioni 4.846 ikinunue na itapa mrabaha wa Milioni 290", amesema Waziri Biteko.

Kwa upande wake Bilionea Laizer amesema kuwa wao kama wachimbaji wadogo wadogo wa madini, wameridhishwa na bei ya Serikali, kwa sababu haina longolongo na kuwaomba Watanzania wamchague Rais Magufuli.

"Nina uhakika ninaweza kutoa Mawe makubwa zaidi ya haya, tunaiomba Serikali iendelee kukata kodi kwa sababu inasaidia maendeleo, upande wetu Umasaini kila mtu anachota maji kwenye nyumba yake, Punda wamepumzika , Magufuli ni mwema kila mtu amchague popote alipo, tumempata Mfalme".

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa