Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fatma Karume hupenda kufanya hili kwa mume wake

Jumanne , 16th Oct , 2018

Mwanasheria maarufu ambaye pia ni Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Fatma Karume, amefunguka juu ya vitu ambavyo yeye hupenda kuvifanya kwa mume wake kama ilivyo kawaida kwa wanawake wengi wa Pwani.

Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika, Fatuma Karume.

Akipiga stori na 'Big Chawa' kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Fatma Karume amesema kuwa yeye kama mwanamke wa Kizanzibari, hupenda kupaka hina kama urembo ili kumfurahisha mume wake.

Hina Wazanzibari tunapaka sikukuu, Eid, mume wangu akirudi safari huwa napaka, sasa itabidi umwambie mume wangu asafiri ili nipake”, amesema Fatma Karume huku akicheka.

Fatma ameendelea kutoa siri kwamba mara nyingi huwa anakuwa na mume wake pale anapopata fursa ya kupumzika, na kutoka naye sehemu mbalimbali za starehe ili kujifurahisha.

Licha ya kutotaka kumtaja mume wake huyo, Fatma Karume amesema pia kuwa mume wake huwa anapenda kumuimbia wanapokuwa wawili, au wakiwa kwenye gari wakielekea sehemu mbali mbali.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali