Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gwajima, uso kwa uso na Makonda, wazua shangwe

Jumanne , 22nd Jan , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima wamekutana uso kwa uso katika mkutano wa kisekta wa Wizara ya Madini.

Josephat Gwajima (kushoto) na Paul Makonda (kulia)

Katika mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa JNICC Jijini Dar es salaam , RC Makonda alimsimamisha Askofu Gwajima Mbele ya Rais John Pombe Magufuli ambae ni mgeni rasmi.

"Nimemuona rafiki yangu Gwajima hapa, simama kidogo wakuone", amesema Makonda na baada ya Askofu Gwajima kusimama, ukumbi mzima ulikaripuka kwa shangwe.

"Mimi na yeye tuna historia ndefu kidogo, wameninoa wengi kuanzia enzi za umoja wa vijana, kwa hiyo kama kuna mapambano, unaweza kunituma tu", ameongeza Makonda.

Ikumbukwe kuwa wawili hao walizua gumzo mwanzoni mwa mwaka uliopita kutokana na suala la uhalali wa elimu ya Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es salaam, ambapo Askofu Gwajima alitumia mikutano yake mingi kuelezea jinsi alivyokuwa akimfahamu.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali