Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakielimu waivaa Serikali, ujenzi wa madarasa

Jumamosi , 23rd Jun , 2018

Baada ya serikali kutangaza ujenzi wa vyumba vya madarasa 478 kwa nchi nzima ili kuwapatia nafasi zaidi ya wanafunzi elfu 21 waliokosa nafasi ya kujiunga kidato cha tano mwaka 2018 kutokana na ukosefu wa madarasa ya kutosha, taasisi ya Hakielimu imepongeza serikali kwa hatua hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa hakielimu Dkt. John Kalage

Akizungumza leo na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam, kuhusiana na suala hilo Mkurugenzi Mtendaji wa hakielimu Dkt. John Kalage amesema kiasi cha fedha shilingi Bilioni 29 kilichotengwa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu hasa ya madarasa na mabweni nchini zitumike ipasavyo katika kutekeleza mradi huo.

"Kufanikisha ujenzi wa madarasa 478 na mabweni 269 kwa ubora ndani ya miezi miwili ni ngumu kwa kweli, hasa ikizingatiwa hatua za awali za kuandaa ardhi, wataalam na mambo mengine zilikuwa hazijafanywa,"amesema Kalage.

Aidha Dkt. Kalage ameongeza kuwahii ni hatua kubwa kwa serikali kudhamiria kupunguza kero ya ukosefu wa vyumba vya madarasa, lakini pia ameikumbusha serikali kupitia wizara ya elimu sayansi na teknolojia juu ya changamoto ya uhaba wa waalimu na vitendea kazi shuleni.

Hivi karibuni, Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa TAMISEMI Mheshimiwa Suleiman Jafo alitangaza kuwa zaidi ya Bilioni 29 zimetolewa na serikali kutumika kujenga vyumba vya madarasa 478 na mabweni 269 katika kipindi cha miezi miwili tuu.

 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali