Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakuna Mtanzania alikufa kwa Njaa-JK

Jumamosi , 8th Aug , 2015

Rais Jakaya Mrisho Kikwete mesema kuwa hakuna mtanzania aliyewahi kufa njaa kwani nchi haikuwahi kuwa na upungufu wa chakula na kusababisha hali ya kuleta athari za kifo kutokana na njaa kwa wananchi wake.

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Kilimo akiangalia ndizi iliyolimwa kwa kuzingatia kanuni bora katika shamba

Dkt. Kikwete ameyasema hayo leo mjini Lindi wakati akiwahutubia watanzania katika maadhimisho ya kitaifa ya sikukuu ya wakulima nanenane yaliyofanyika mkoani humo

Dkt. Kikwete amesema kinachofanyika sasa ni kuhakikisha wakulima wanalima mazao mengi zaidi ikiwa ni pamoja na kuwatafuta masoko zaidi na ndani na nje ya nchi ili kuendeleza sekta ya kilomo kwa kukuza uchumi na kuwaondolewa watanzania Umasikini.

Amongeza kuwa licha ya Uzalishaji kuongezeka lakini bado Serikali haijafika inapopataka hivyo haina bundi kuongeza juhudi zaidi ili kuendelea sekta ya kilomo iwe yenye tija zaidi.

Katika maadhimisho hayo Dkt. Kikwete ametumia nafasi yake kuwaaga wakulima ikiwa ni siku chache kabla ya kumaliza muda wake mdarakani, huku akiwataka watanzania kutumia vyema haki yao ya kupiga kura na kumchagua kiongozi wanaompenda.

HABARI ZAIDI

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton