Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Halmashauri zatakiwa kuorodhesha wageni Kahama

Jumatano , 20th Apr , 2016

Kufuatia kuongezeka kwa matukio ya Uhalifu wa kutumia Silaha wilayani Kahama mkoani Shinyanga Serikali imeziagiza serikali za vijiji kuanza kutekeleza mpango wa kuorodhesha wageni wanaoingia katika sehemu mbalimbali za wilaya hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Bw. Vita Kawawa,

Akizungumza na baadhi ya viongozi wa halmashauri kuu ya wilaya ya Kahama, Mkuu wa Wilaya ya Kahama Bw. Vita Kawawa, amesema matukio ya uhalifu yalitokea hivi karibuni wilayani humo yamebainika kufanywa na wageni kutoka nchi jirani.

Bw. Kawawa amesema kuwa wageni hao ni lazima wanafikia kwa wananchi ambao ni raia wa Tanzania hivyo wananchi wanawafahamu fika wageni hao hivyo hakuna budi kushirikiana nao ili kuwatambua wageni hao.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema baadhi ya wageni hao wamekua wakijihusisha na shughuli mbalimbali ikiwemo za kilimo lakini kuna baadhi yao ambao sio wema wamekua wakifanya matukio ya uhalifu wa kutumia silaha na kufanya mauaji wilayani humo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya