Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hatma ya mchele wa Plastiki yapatikana

Jumanne , 20th Jun , 2017

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa {TFDA}, Hiiti Sillo amewatoa wasiwasi wananchi wa Tanzania kwa kuwaambia mpaka sasa hawajapokea taarifa yeyote ya kuonesha kuwa kuna mchele wa plastiki katika masoko makubwa na madogo ya mchele.

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Chakula na dawa {TFDA}, Hiiti Sillo

Siilo amebainisha hayo baada ya kuenea kwa uvumi katika mitandano ya kijamii ambao ulikuwa unasambaza taarifa za kuingizwa mchele feki wa plastiki katika masoko ya mchele pamoja na maduka ya reja reja 

"TFDA imesajili mchele wa Basmati lakini siyo huo wa brand ya sunrice, ambao taarifa zake zimekuwa zikisambaa kwa madai ni mchele wa plastiki. hatuutambui na taarifa ile sisi tulipoipokea tulianza kufanya ukaguzi wa ufuatiliaji na kiuchunguzi, mchele tunaoufahamu ni ambao umelimwa mashambani umevunwa na ndiyo ambao tunautumia kwa hiyo hatujawahi kuona mchele unaotokana na plastiki kitaalamu hatujawahi kuufahamu" alisema Sillo. 

Pamoja na hayo Sillo amewataka wananchi wawe majasiri katika kutoa taarifa za ukweli kuhusiana na tatizo hilo ili ziweze kuchukuliwa kwa haraka zisije kuathiri afya za watu.

"Tuwe wajasiri tusioneshe mikono pekee yake kwa https://www.viagrapascherfr.com/acheter-viagra-pfizer-achat/ sababu tutakuwa hatujawasaidia watu bado, unalalamika kuwa umekula chakula ambacho unahisi siyo bora lakini namna ambavyo ujumbe unatufikia haujatusaidia bado tunawaomba sana wananchi watupe taarifa, sisi tumejipanga na tutawafikia hao" alisisitiza Sillo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi