Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Hatua alizozichukua Rais ni faraja' - Lugola

Alhamisi , 23rd Jan , 2020

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema kuwa ataendelea kumuunga mkono Rais Magufuli hata baada ya yeye kumtengua na kwamba hatua aliyoichukua Rais Magufuli ni njema kwani ina lengo la kujenga safu ya Serikali ya awamu ya Tano.

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola

Lugola ameyabainisha hayo muda mfupi tu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kutangaza hadharani kuwa amepokea barua ya kujiuzulu kwake.

"Mheshimiwa Rais ndiye aliyeniteua  kwenye Baraza la Mawaziri na ndiye ameona anipumzishe, kwangu mimi ni jambo la faraja, hatua alizozichukua ni nzuri zina lengo la kujenga vizuri safu ya Serikali, kama Mbunge niliyepata nafasi ya kumsaidia Rais, nitaendelea kumsaidia na kutumikia Serikali ya awamu ya Tano kwa heshima kubwa" amesema Waziri Lugola.

Katika hotuba yake leo Januari 23, 2020, Rais Magufuli, wakati akizindua nyumba za Maaskari Magereza zilizopo Ukonga Jijini Dar es Salaam, alionesha kutofurahishwa na mwenendo wa viongozi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani, baada ya kusaini mradi Nje ya Nchi, wenye thamani ya zaidi ya Trilioni 1, ambao haukupitishwa na Bunge.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya