Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hatutaki viongozi mzigo uchaguzi ujao"- Polepole

Alhamisi , 11th Apr , 2019

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amesema kuwa kuwa viongozi ambao hawafanyi vizuri katika majukumu yao hawatopata ridhaa ya kugombea uchaguzi ujao.

Polepole akizungumza.

Polepole ametoa kauli hiyo leo Aprili 11, akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Ubungo jijini Dar es salaam, ambapo anafuatilia utekelezaji wa miradi kwa mujibu wa Ilani ya chama tawala.

"Lazima mfahamu kuwa wenyeviti wa serikali za mitaa ambao hawafanyi kazi vizuri kwa mujibu wa sheria, hatutawapa nafasi tena katika uchaguzi huu wa 2019", amesema Polepole.

Akizungumzia watumishi wa umma wasio ifahamu ilani ya chama tawala amesema kuwa, "huwezi kuwa unafanyakazi msikitini halafu hujui hata kutamka Asallamu Alleikum, haiwezekani mtu anafanyakazi ya Serikali ya CCM na hataki kuijua Ilani ya CCM, sera zake na taratibu zake".

Sanjari na hayo Polepole amedai kuwa moja kati ya sehemu ambayo CCM inaitazama kwa macho manne ni pamoja na Ubungo, hivyo ni lazima kuimarisha chama katika eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi