Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hawa ndiyo mawaziri waliotwishwa mzigo na Majaliwa

Ijumaa , 10th Sep , 2021

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewaagiza Waziri wa Katiba, Prof.Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mawasiliano Dkt.Faustine Ndugulile, Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, kuhakikisha wanatumia kanuni na sheria zilizopo kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao yanadhibitiwa.

Kushoto ni Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile, na kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 10, 2021, wakati akitoa Hotuba ya kuahirisha vikao vya Bunge hilo hadi Novemba 2, 2021, ambapo amesema kuwa siku za hivi karibuni watu wameanza kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kutoa taarifa za upotoshaji na zenye kudhalilisha.

"Katika kulinda na kutunza usalama, amani, umoja na mshikamano wa nchi ninawaagiza Waziri wa Katiba na Sheria, Waziri wa Mambo ya Ndani, Waziri wa Mambo ya Nje, Waziri wa Utumishi, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojiana ya Habari kutumia sheria, kanuni na taratibu zilizopo kuhakikisha vitendo vya matumizi mabaya ya mitandao vinadhibitiwa hapa nchini," ameagiza Waziri Mkuu.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa