Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haya ndiyo mafanikio ya vifungo vya nje

Jumanne , 21st Mar , 2017

Takwimu zinaonesha kati ya wafungwa 4,815 walionufaika na mpango wa Parole (Wafungwa kupewa vifungo vya nje) ni wafungwa 25 pekee ambao walikiuka masharti

Waziri wa Mambo ya Ndani - Mwigulu Nchemba

Takwimu hizo zimetolewa leo Jijini Dar es salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Mwigulu Nchemba wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya Parole na kusema mpango huo una lengo la kupunguza msongamano wa wafungwa magerezani na kuisaidia idara ya mahakama kusikiliza kesi za watuhumiwa kwa uharaka.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Parole Mhe. Augustine Mrema amesema kazi yake kwa sasa ni kuhamasisha wananchi waache kufanya vitendo vya kihalifu.

Wakati huohuo waziri Mwigulu amezungumzia suala la haki ya mtuhumiwa hususani anapokamatwa au kushikiliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano,ambapo amesema jeshi la polisi lina wajibu wa kumuachia huru mtuhumiwa yoyote ambaye anabainika kutohusika katika tuhuma alizoshukiwa.

“Mwenye Makosa ni vizuri kufika kwenye mikono ya sheria, lakini mkijiridhisha kwamba hana makosa, au siyo yeye mliokuwa mnamtafuta, isiwe tabu kumuachia”  Amesema Nchemba

Mtazame hapa

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi