Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Huu ni utamaduni mpya ambao haukubariki'' -Membe

Jumanne , 2nd Jul , 2019

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, ameshangazwa na hatua ya Spika wa Bunge Job Ndugai,  kumvua ubunge wa Singida Masharika Mh Tundu Lissu, siku ya Juni 28 mwaka huu.

Bernard Membe

Membe ameyasema hayo leo Julai 2 nje ya Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar Es Salaam,  ambapo amesema anao uhakika kwamba, Lissu atakaporudi ataenda mahakamani na kama kuna haki ataipata.

Aidha Membe amezungumzia suala la utekaji linaloendelea hapa nchini,  ambapo amewataka viongozi wa serikali na Chama kulikemea jambo hili.

''Mimi naona huu ni utamaduni mpya ambao haukubariki, na ningependa kuchukua nafasi hii kusema tu kwamba,  suala la utekaji ama watu kupotea linaweza kuiharibia nchi yetu heshima duniani'', amesema.

 Ameongeza, ''ningependa kuwaomba viongozi wa chama na serikali kulifikiria suala hili kulikemea jambo hili ili lisitokee, tujifikirie sisi wenyewe kama watoto wetu wakitekwa, wenzetu wa dunia watashindwa kuja kutalii''

Amemaliza kwa kusema hatuwezi kuendelea kukaa  kwenye nchi ya watu wenye wasiwasi na uoga wasiojua kesho wataamuka vipi na hii ajenda iishe maana isipoisha itaenda mwapa kwenye uchaguzi.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa