Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huyu ndiye Waziri anayejikomba kwa Magufuli

Alhamisi , 10th Jan , 2019

Akiwa tayari ameshatumikia Wizara mbili katika miaka mitatu ya uongozi wa Rais Magufuli, Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa yupo tayari kuitwa Waziri anayejikomba kwa Rais Magufuli.

Rais Magufuli (kulia) alipokuwa akiipokea ndege ya Airbus A220 - 300 Dodoma.

Kigwangalla ambaye ni mbunge wa Nzega Vijijini amelazimika kuweka wazi hilo wakati alipokuwa akisifia utendaji kazi wa Rais Magufuli hususani kwenye suala la kununua ndege.

''Unaweza ukasema Kigwangalla Waziri anajikomba, sawa tu! Povu ruksa!'', ni sehemu ya ujumbe wake alioundika kwenye mtandao wa Twitter.

Katika Baraza la Mawaziri la kwanza kwenye awamu ya tano chini ya Rais Magufuli, Kigwangalla aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kabla ya kupelekwa kuwa Waziri kamili wa Maliasili na Utalii Oktoba 7, 2017.

Ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyopewa jina la Ngorongoro imeondoka nchini Canada jana na inatarajiwa kufika nchini kesho Januari 11, 2018 baada ya kutanguliwa na ile ya kwanza iliyopewa jina la Dodoma ambayo ilitua nchini Desemba 23, 2018.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke