Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ibada zikifungwa, watu watakufa" - Gwajima

Jumatatu , 23rd Mar , 2020

Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima amesema kuwa hakuna haja ya watu kufanya ibada kwa njia ya mitandao ya kijamii kama wanavyofanya wengine kwakuwa, watu wengi ni maskini na faraja yao wanaipata kanisani.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

Askofu Gwajima ameyabainisha hayo kupitia mazungumzo maalum aliyofanya na EATV&EA Radio Digital, wakati akijibu swali la kwamba haoni kama kuna haja ya yeye kuanzisha maombi kwa njia ya mitandao ili kuepusha misongamano ya watu katika kipindi hiki ambacho Dunia inapambana na ugonjwa hatari unaosababishwa na Virusi vya Corona.

"Ni hatari sana kwa sababu watu wetu sisi ni maskini, kanisani ni mahala pa faraja ambapo watu wanapewa, tukisema tufunge kuabudu watakufa watu wengi sana na kuna uvumi kuwa ugonjwa huu hauna dawa ukiupata unakufa, sisi tukikutana nao tutawaelimisha kwamba ukipata hautakufa" amesema Gwajima.

Mpaka sasa nchi ya Tanzania ina jumla ya wagonjwa 12 wenye maambukizi ya Virusi vya Corona.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi